Life With Muhasu » You Can Win If You Want

Epuka Kujinenea Mabaya

epuka kujinenea mabaya
Photo by Pixabay on Pexels.com

Weka mazoea ya kuwaza mambo Chanya kila mara

Bila kujali maisha yako ya sasa wala vikwazo ulivyo navyo

Kadiri unavyowaza mambo mazuri na Chanya ndivyo unayavuta karibu yako

Kumbuka ukiwa karibu na UA ridi basi hata na wewe utanukia na ukiwa karibu na harufu mbaya na wewe utanuka!

Jinenee mambo mema kila wakati na weka imani kuwa inawezekana kuyapata

Kataa kabisa hali ya kukata tamaa na kujinenea mabaya au hata kujichukulia mnyonge na usiyejiweza

Epuka hali ya huzuni na kujiona hufai kila wakati hata kama una pitia magumu

Elewa kuwa changamoto haziepukiki Ila unaweza kuepuka namna unavyozipokea na jinsi unavyo kabiliana nazo..

Kumbuka unaweza kuwa vile unataka na kuishi maisha unayotamani kama ukiamua wewe mwenyewe

Usikubali kabisa kujiona wa kawaida wewe ni wa thamani kubwa sana.

Share this article
Shareable URL
Prev Post

Tengeneza Mabawa Yako

Next Post

Sababu 5 Zinazo Sababisha Watu Kutofikia Malengo Yao Nchini Tanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Read next

Jifunze Kushukuru

Kadiri unavyo shukuru Ndivyo unavyojisogeza karibu na mafanikio yako Jifunze kuwa na moyo wa kuyaona mazuri…

Tengeneza Mabawa Yako

Usikubali mazingira yakwamishe ndoto zako wala kukupa vikwazo vya kuwa unavyojiona kwa ndani Usikubali watu…