Life With Muhasu » You Can Win If You Want

Kama Una Smartphone Na Unasema Huna Mtaji, Jitafakari Upya

KAMA UNA SIMU JANJA (SMARTPHONE) NA UNASEMA HUNA MTAJI, JITAFAKARI UPYA!

Upo na simu janja pengine hata ya gharama kubwa

Una Elimu, ujuzi au kipaji fulani na hata uzoefu wowote

Au pengine una fahamiana na watu wengi wenye biashara zao!

Una uwezo wa kuweka vocha hata elfu 1000 tu kila siku

Lakini wakati huo huo unasema huna mtaji wala biashara au njia ya kukuingizia kipato!

Hakika shida sio mtaji wala kipato, shida ni wewe binafsi

Yani hata ukipata milioni 100 za mtaji bado zitapotea tu

Kwa ufupi tu ni kuwa kwa maisha ya sasa simu peke ake ni mtaji tosha

Huhitaji mtaji mwingine kuanza kupata kipato au kuanza biashara

Badala ya kutafuta mtaji mwingine geuza simu yako kama mtaji mkubwa

Jifunze kutumia simu kupata pesa badala ya kutumia kuingizia wengine faida na utajiri!

Acha kulalamika Huna mtaji wakati huo huo una shinda Instagram na tiktok kuangalia video zisizo kuingizia chochote.

Share this article
Shareable URL
Prev Post

Samaki Mmoja Akioza Muweke Pembeni

Next Post

Namna Ya kupata Hamasa

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Read next

Huruhusiwi ku copy makala hii.