Life With Muhasu » You Can Win If You Want

Tengeneza Bahati Yako Mwenyewe

tengeneza bahati yako
Photo by Belle Co on Pexels.com

Kuna tofauti kubwa kati ya kusubiria lifti chumbani na kutoka kuifuata barabarani

Hata dawa hushika penye kidonda kwa maana kuwa hata maombi na dua hufanya kazi kwenye jitihada

Hakuna muujiza ya usafiri kushuka chumbani hata kama utakesha ukiomba!

Simama na zifuate gari mahala zilipo huku ukiomba Mungu na kuomba lifti kwa wenye magari

Lakini pia huwezi kupata gari za mtwara njia ya kwenda bagamoyo

Lazima ufuate uelekeo sahihi wa njia ya mtwara Ndio utakutana na gari za mtwara hata kwa hatua ndogo ndogo

Hivyo Basi haijalishi ukubwa wa maono uliyonayo,

Kama hautoyafanyia kazi hata kwa hatua ndogo ndogo zenye muelekeo sahihi elewa kuwa hakuna muujiza utakusaidia

Mungu humsaidia anae jisaidia na maombi au dua hufanya kazi palipo na jitihada.

JIWEKE KARIBU NA BAHATI ILI UBAHATISHE.

Share this article
Shareable URL
Prev Post

Wewe Ndio Dereva Wa Maisha Yako

Next Post

Tafuta Upekee Wako

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Read next

Epuka Kujinenea Mabaya

Weka mazoea ya kuwaza mambo Chanya kila mara Bila kujali maisha yako ya sasa wala vikwazo ulivyo navyo Kadiri…

Usiogope Kujaribu

Usiogope kujaribu jambo hata kama unahisi huliwezi au ni gumu sana Kataa kabisa neno haiwezekani kwenye akili…

Tengeneza Mabawa Yako

Usikubali mazingira yakwamishe ndoto zako wala kukupa vikwazo vya kuwa unavyojiona kwa ndani Usikubali watu…