Life With Muhasu » You Can Win If You Want

Tengeneza Mabawa Yako

tengeneza mabawa yako
Photo by Pixabay on Pexels.com

Usikubali mazingira yakwamishe ndoto zako wala kukupa vikwazo vya kuwa unavyojiona kwa ndani

Usikubali watu wakwamishe mafanikio yako kwa kukupa sababu za kushindwa

Usikubali mila wala tamaduni zikuwekee vikwazo vya kutimiza malengo yako kisa hadithi za kusadikika

Vuka vikwazo vyote na simama imara wewe mwenyewe

Ondoa sababu zote zenye kuleta pingamizi za kuwa vile unavyotaka

Umeumbwa kwa uwezo mkubwa sana na unapaswa kuutumia kuwa vile unataka

Tengeneza mabaya yako, paa na fika mbali kwa namna unayotaka

Usisubiri kushikwa mkono wala kuongozwa na mtu yoyote yule, vaa uhusika wako

Wewe ni wa thamani sana na una kila kitu ndani yako chenye uwezo wa kukupa unachotaka

Anza sasa usingoje zaidi, muda haukusubiri, paa fika mbali unapotaka.

Share this article
Shareable URL
Prev Post

Hata Mbuyu Ulianza Kama Mchicha

Next Post

Epuka Kujinenea Mabaya

Comments 1
Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Read next