Life With Muhasu » You Can Win If You Want

Hakuna Marefu Yasiyo Na Ncha

hakuna marefu yasiyo na ncha
Photo by NO NAME on Pexels.com

Changamoto za leo kuna siku utazisahau hata historia yake

Magumu ya sasa kuna muda utashindwa hata namna ya kuyaelezea kama yalivyokuwa

Shida za leo kuna wakati hutokumbuka chochote kilichokutokea

Kilio cha sasa itafika muda utajiuliza kwanini ulikuwa unalia

Uchungu uliokujaa leo moyoni kuna siku utajilaumu kwanini ulipatwa na simanzi kama hio

Ijue thamani yako, simama imara, kaza roho na zikabili changamoto zako kupitia imani yako…

Jipe muda, muda ni mwalimu mzuri sana hakika muda utakupa unachotaka

Usikubali kuumia kwa sababu zingine zozote hapa Duniani hata kama zina ukweli wowote

Maisha ni zawadi ya muda mfupi sana, jifunze kufurahia kila sekunde uliyonayo sasa.

Share this article
Shareable URL
Prev Post

Kula Kondoo Aliyenona

Next Post

Wewe Ndio Dereva Wa Maisha Yako

Comments 1
  1. Please let mme knjow if you’re loooking for a authoir
    foor your weblog. You have some really great posts and I think I would be a good asset.
    If you ever want to take some of the load off, I’d absolutely love to write ssome content for your blog in exchange for a link back to mine.
    Please sholot me an email if interested. Cheers! http://Boyarka-Inform.com/

Leave a Reply to http://Boyarka-Inform.com/ Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Read next

Huruhusiwi ku copy makala hii.